Saturday, April 7, 2012

PLZZ GREAT KANUMBA WAKE UP AND SAY WAS JUST A SCENE...

MAREHEMU STEVEN KANUMBA ENZI ZA UHAI WAKE
VILIO NA MAJONZI Vimetawala pia simanzi kwa WATANZANIA WOTE  WA NJE NA NDANI YA NCHI kwa kuondokewa na kipenzi cha wengi STEVEN KANUMBER A.K.A UNCLE JJ..                                                                        .                                                                                 KAZI YAKE MOLA HAINA MAKOSA hivyo hatuna budi kushukuru kwa kila jambo kwani sis tulimpenda lakini mungu alimpenda zaidi....kwa taarifa mbalimbali zilizoko mitaani na katik baadhi ya vyombo vya habari kua msanii ELIZABETH MICHAEL(LULU) anayesemekana ni mpenzi wa kanumba ndiealiekua wa mwisho kua na marehemu nyumbani kwake sinza na walikua katika ugomvi hivyo yasemekana lulu ndiye anayehusika na kifo hicho..jamani hakuna anayejua ukweli wa jambo hili pia tukumbuke KIFO HAKIKOSI SABABU so lulu anaonekana nndiye aliye husika bt kiukweli kifo hakiepukiki na ninaimani siku yake ilikua imefika...najua imeumiza watu wengi lakini tukumbuke kumshukuru mungu kwa kila jambo..NAWAPA POLE WATANZANIA WOTE PAMOJA NA FAMILIA YA MAREHEMU pi lulu kwa kipindi kigumu alichonacho mungu ampe nguvu na ujasili na haki itendeke juu ya sheria kwani hakuna anayejua undani wa jambo hili.......R.I.P STEVEN KANUMBA

Tuesday, April 3, 2012

WEMA AFUNGUKA KUHUSU KITENDO ALICHOFANYIWA

HEllow friendz  !hope mpo pouwa..mwanadada WEMa sepetu ameamua kufunguka kuhusu stori iliyopo mtaani kwa sasa kwa kitendo kilichotoke ijumaa kwenye shoo ya DAIMOND....jamani!me sijafurahishwa kabisaa na kitendo cha DAIMOND alichokifanya kwa EX-gal wake..........guyzz hiyo cio poa kabitha,hata kama mtu mliachana sio sababu ya kudhalilishana hivyoo...wema ni demu poa sana dats y hakuona vibaya kwenda kwenye hiyo shoo bahati mbaya yakatokea hayooo yaliyojiriii..Kwa upande wake anakwambia alienda kama shabiki tu na wala ci vingine n alishangazwa na kilichotokea
Mapenzi matamu mwanzo bt watu wakivurugana mambo hubadilika........Enzi zao hizoo DAIMOND alikua anaona UTAMMMMMMMMMMmmmmm kupanda kwa stag na mtoto mzuri bt cha kushangaza nw hataki hatakumcikia......USIOMBE MAPENZI YAKUPIGE TEKE WEEEEEE INAUM............................